sw_dan_text_reg/11/14.txt

1 line
172 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 14 Katika siku hizo wengi watainuka kinyume na mfalmea wa Kusini. Wana wa vurugu miongoni mwa watu wake watasimama wao wenyewe ili kuyatimiliza maono, lakini watajikwaa.