sw_act_text_ulb/19/03.txt

1 line
250 B
Plaintext

\v 3 Paul alisema, "Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani?" Wakasema, "Katika ubatizo wa Yohana. \v 4 Basi Paulo akajibu, "Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba. Akawaambia wale watu kwamba wanapaswa kumwamini yule ambaye angekuja baada yake, yaani, Yesu."