sw_act_text_ulb/08/32.txt

1 line
299 B
Plaintext

\v 32 Sasa fungu la maandiko alilokuwa akisoma Muethiopia ni hili; "Aliongozwa kama kondoo kwenda machinjioni kuchinjwa; na kama kondoo alinyamaza kimya, hakufungua kinywa chake: \v 33 Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa: Nani ataeleza kizazi chake? maisha yake yameondolewa katika nchi."