1 line
280 B
Plaintext
1 line
280 B
Plaintext
\v 12 Lakini wakati walipoamini Filipo akihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake. \v 13 Na Simoni mwenyewe aliamini: baada ya kubatizwa, aliendelea kuwa na Filipo; alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa. |