sw_act_text_ulb/08/12.txt

1 line
280 B
Plaintext

\v 12 Lakini wakati walipoamini Filipo akihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake. \v 13 Na Simoni mwenyewe aliamini: baada ya kubatizwa, aliendelea kuwa na Filipo; alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa.