sw_act_text_ulb/22/03.txt

1 line
578 B
Plaintext

\v 3 "Mimi ni myahudi, niliyezaliwa mji wa Tarso eneo la Kilikia, ila nilipata elimu katika mji huu, miguuni pa Gamalieli. Nilifundishwa kulingana na njia sahihi za sheria za baba zetu. Mimi ni mwenye wivu wa Mungu, kama ninyi nyote mlivyo leo. \v 4 Niliwatesa watu wa njia hii hadi kufa; nikawafunga wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani. \v 5 Hata kuhani mkuu na wazee wote wanaweza kutoa ushahidi kwamba nilipokea barua kutoka kwao kwa ajili ya ndugu walio Dameski, kwangu mimi kusafiri kwenda huko. Ilikuwa niwalete watu Yerusalemu wa njia ile ili wafungwe na kuadhibiwa.