sw_act_text_ulb/13/28.txt

1 line
208 B
Plaintext

\v 28 Ijapokuwa hawakupata sababu nzuri za adhabu ya kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue. \v 29 Wapolokua wamekamilisha mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye, walimshusha kutoka mtini na kumlaza kaburini.