|
\v 39 Wakati walipotoka kwenye maji, Roho wa Bwana akamnyakua Filipo mbali; towashi hakumwona tena, akaenda njia yake akifurahia. \v 40 Lakini Filipo akatokea Azoto. Alipita katika mkoa ule na kuhubiri injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria. |