sw_act_text_ulb/08/12.txt

1 line
288 B
Plaintext

\v 12 Lakini wakati walipoamini Filipo akihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake. \v 13 Hata Simoni mwenyewe aliamini na baada yakuwa amebatizwa, aliendelea kuwa na Filipo alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa.