sw_act_text_ulb/02/20.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 20 Na jua litabadilishwa kuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla haijaja siku kuu na ya ajabu ya Bwana. \v 21 itakuwa ya kwamba kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.'