sw_act_text_ulb/10/36.txt

1 line
487 B
Plaintext

\v 36 Unajua ujumbe alioutoa kwa watu wa Israel, alipokuwa akitangaza habari njema ya amani kupitia Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote- \v 37 ninyi wenyewe mnajua tukio lililotokea, ambalo limetokea Yudea yote, kuanzia Galilaya, baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza. \v 38 Tukio lililokuwa linamhusu Yesu Kristo wa Nazareti jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu. Alienda akifanya mema na kuponya wote walioteswa na ibilsi, kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye.