sw_act_text_ulb/02/25.txt

1 line
248 B
Plaintext

\v 25 Hivyo Daudi asema kuhusu yeye, 'Nilimwona Bwana daima mbele ya uso wangu, yeye yuko mkono wangu wa kulia hivyo basi sitasogezwa. \v 26 Kwa hiyo moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulifurahishwa. Pia mwili wangu utaishi katika tumaini.