sw_act_text_ulb/02/18.txt

1 line
214 B
Plaintext

\v 18 Vilevile juu ya watumishi wangu na watumishi wangu wa kike katika siku hizo, nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri. \v 19 Nitaonesha maajabu juu angani na ishara chini duniani, damu, moto, na mafusho ya moshi.