sw_act_text_ulb/21/32.txt

1 line
277 B
Plaintext

\v 32 Mara hiyo akawachukua askari na jemedari akaukimbilia umati. Wakati Watu walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo. \v 33 Kisha mkuu wa jeshi alimkaribia na akamshika Paulo, na akaamuru afungwe minyororo miwili. Akamuuliza yeye ni nani na amefanya nini.