sw_act_text_ulb/15/13.txt

1 line
203 B
Plaintext

\v 13 Walipoacha kuongea, Yakobo alijibu akisema, "Ndugu nisikilizeni. \v 14 Simoni ameelezea jinsi kwanza Mungu kwa neema aliwasaidia Mataifa ili kwamba ajipatie kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.