sw_act_text_ulb/15/30.txt

1 line
271 B
Plaintext

\v 30 Hivyo basi, walivyotawanyishwa, waliteremkia Antiokia; baada ya kukusanya kusanyiko pamoja, waliwasilisha barua. \v 31 Walipokua wameisoma, walifurahi kwa sababu ya kutiwa moyo. \v 32 Yuda na Sila, na manabii, waliwatia moyo ndugu kwa maneno mengi na kuwatia nguvu.