sw_act_text_ulb/18/07.txt

1 line
293 B
Plaintext

\v 7 Hivyo akaondoka kutoka pale akaenda kwenye nyumba ya Tito Yusto, Mtu aliyemwabudu Mungu. Nyumba yake ilikuwa karibu na sinagogi. \v 8 Krispo, kiongozi wa sinagogi pamoja na watu wa nyumbani mwake wakamwamini Bwana. Watu wengi wa Korintho waliomsikia Paulo akiongea waliamini na kubatizwa.