1 line
285 B
Plaintext
1 line
285 B
Plaintext
\c 11 \v 1 Sasa mitume na ndugu wale waliokuwa huko Yudea walisikia kuwa watu wa mataifa wamelipokea neno la Mungu. \v 2 Petro alipokuwa amepanda kwenda huko Yerusalemu, lile kundi la watu waliotahiriwa wakaanza kumkosoa; \v 3 Walisema, "Wajihusisha na watu wasiotahiriwa na kula nao!" |