\v 24 Kwa sababu tumesikia kwamba watu fulani ambao hatukuwapatia amri hiyo, walitoka kwetu na wamewataabisha kwa mafundisho yaletayo shida nafsini mwenu. \v 25 Kwa hiyo imeonekana vyema kwetu, ambao wametujia kwa nia moja, kuchagua watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo, \v 26 watu walio hatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana Yesu Kristo.