Thu Jun 09 2022 05:59:42 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
a182381f1a
commit
ef0343b4bf
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\c 20 \v 1 Baada ya ghasia kumalizika, Paulo aliwaita wanafunzi na baada ya kuwatia moyo, aliwaaga na akaondoka kwenda Makedonia. \v 2 Naye akiishakupita mikoa hiyo na alikuwa akiwatia moyo waamuni, akaingia Uyunani. \v 3 Baada ya yeye kuwa pale kwa muda wa miezi mitatu, njama ziliundwa dhidi yake na Wayahudi alipokuwa akikaribia kusafiri kwa njia ya bahari kuelekea Shamu, hivyo aliazimu kurudi kupitia Makedonia.
|
||||
\c 20 \v 1 Baada ya ghasia kumalizika, Paulo aliwaita wanafunzi na baada ya kuwatia moyo, aliwaaga na akaondoka kwenda Makedonia. \v 2 Naye akiishakupita mikoa hiyo na alikuwa akiwatia moyo waumini, akaingia Uyunani. \v 3 Baada ya yeye kuwa pale kwa muda wa miezi mitatu, njama ziliundwa dhidi yake na Wayahudi alipokuwa akikaribia kusafiri kwa njia ya bahari kuelekea Shamu, hivyo aliazimu kurudi kupitia Makedonia.
|
Loading…
Reference in New Issue