diff --git a/09/20.txt b/09/20.txt index ff07d45..0ffbd73 100644 --- a/09/20.txt +++ b/09/20.txt @@ -1 +1 @@ -\v 20 Wakati huo huo akamtangaza Yesu katika masinagogi, akisema kwamba yeye ni Mwana wa Mungu. \v 21 Na wote waliosikia walishangaa na kusema, "Siyo mtu huyu aliyewaharibu wote walioita Jina hili huko Yerusalemu? Na hapa amekuja kwa kusudi la kuwafunga na kuwapeleka kwa makuhani." \v 22 Lakini Sauli akawa na nguvu zaidi na zaidi, naye alikuwa akisababisha dhiki miongoni mwa Wayahudi waliokaa Dameski kwa kuthibitisha ya kuwa huyu ndiye Kristo. \ No newline at end of file +\v 20 Wakati huo huo akamtangaza Yesu katika masinagogi, akisema kwamba yeye ni Mwana wa Mungu. \v 21 Na wote waliosikia walishangaa na kusema, "Siyo mtu huyu aliyewaharibu wote walioita Jina hili huko Yerusalemu? Na hapa amekuja kwa kusudi la kuwafunga na kuwapeleka kwa makuhani." \v 22 Lakini Sauli akawa na nguvu zaidi na zaidi, naye alikuwa akisababisha dhiki miongoni mwa Wayahudi waliokaa Dameski, akithibitisha ya kuwa huyu ndiye Kristo. \ No newline at end of file