Wed Jun 08 2022 17:16:43 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
ca8740686c
commit
b595390335
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 4 Hivyo Paulo alijadiliana nao katika sinagogi kila siku ya Sabato, akijaribu kuwashawishi Wayahudi pamoja na Wayunanii. \v 5 Sasa Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo alisukumwa na Roho kuwashuhudia Wayahudi kuwa Yesu ndiye Kristo. \v 6 lakini Wayahudi walipompinga na kumdhihaki, Paulo akawakung'utia vazi lake mbele yao, na kuwaambia, "Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe; Mimi sina hatia. Kutoka sasa na kuendelea, nawaendea Mataifa".
|
||||
\v 4 Hivyo Paulo alijadiliana nao katika sinagogi kila siku ya Sabato, akijaribu kuwashawishi Wayahudi pamoja na Wayunanii. \v 5 Sasa Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo alisukumwa na Roho kuwashuhudia Wayahudi kuwa Yesu ndiye Kristo. \v 6 lakini Wayahudi walipompinga na kumdhihaki, Paulo akawakung'utia vazi lake mbele yao, na kuwaambia, "Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe; Mimi sina hatia. Kutoka sasa na kuendelea, nitawaendea watu wa Mataifa".
|
|
@ -287,6 +287,7 @@
|
|||
"17-30",
|
||||
"17-32",
|
||||
"18-title",
|
||||
"18-01"
|
||||
"18-01",
|
||||
"18-04"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue