diff --git a/05/26.txt b/05/26.txt index dcd6dc6..ee5c439 100644 --- a/05/26.txt +++ b/05/26.txt @@ -1 +1 @@ -\v 26 Hivyo jemedari alienda pamoja na watumishi, na kuwarejesha, lakini bila ya kufanya vurugu, kwa sababu waliwaogopa watu wangeweza kuwapiga kwa mawe. \v 27 Walipokwisha kuwaleta, waliwaweka mbele ya baraza. Kuhani mkuu aliwahoji \v 28 akisema, "Tuliwaamuru msifundishe kwa jina hili, na bado mmeijaza Yerusalemu kwa fundisho lenu, na kutamani kuleta damu ya mtu huyu juu yetu." \ No newline at end of file +\v 26 Hivyo jemedari alienda pamoja na watumishi, na kuwarudisha, lakini bila ya machafuko, kwa sababu waliwaogopa watu wangeweza kuwapiga kwa mawe. \v 27 Walipokwisha kuwaleta, waliwaweka mbele ya baraza. Kuhani mkuu aliwahoji \v 28 akisema, "Tuliwaamuru msifundishe kwa jina hili, na bado mmeijaza Yerusalemu kwa fundisho lenu, na kutamani kuleta damu ya mtu huyu juu yetu." \ No newline at end of file