diff --git a/05/29.txt b/05/29.txt index fbf91f5..642f642 100644 --- a/05/29.txt +++ b/05/29.txt @@ -1 +1 @@ -\v 29 Lakini Petro na mitume wakajibu, "Lazima tumtii Mungu kuliko watu. \v 30 Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, mliyemuua, kwa kumtundika juu ya mti. \v 31 Mungu alimtukuza katika mkono wake wa kuume, na kumfanya kuwa Mkuu na mwokozi, kutoa toba kwa Israeli, na msamaha wa dhambi. \v 32 Sisi ni mashahidi wa mambo haya, na Roho Mtakatifu, ambaye Mungu amemtoa kwa wale wanaomtii." \ No newline at end of file +\v 29 Lakini Petro na mitume wakajibu, "Lazima tumtii Mungu kuliko watu. \v 30 Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, mliyemuua, kwa kumtundika juu ya mti. \v 31 Mungu alimtukuza katika mkono wake wa kuume, na kumfanya kuwa Mkuu na mwokozi, kuwapa toba kw Israeli, na msamaha wa dhambi. \v 32 Sisi ni mashahidi wa mambo haya, na Roho Mtakatifu, ambaye Mungu amemtoa kwa wale wanaomtii." \ No newline at end of file