Thu Jun 09 2022 23:13:49 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
a30339a845
commit
91407c8bff
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 6 Na walipokuwa wamekutanika pamoja walimuuliza; "Bwana, hivi huu ndio muda utakaowarudishia Israeli ufalme?" \v 7 Yeye akawaambia, "Siyo sawa nu kujua wakati au majira ambayo Baba amekusudia kwa mamlaka yake mwenyewe." \v 8 Lakini mtapokea nguvu, wakati Roho Mtakatifu atakapokuja juu yenu, na ninyi mtakuwa mashahidi wangu kote katika Yerusalemu na Uyahudi wote na Samaria mpaka mwisho wa nchi."
|
||||
\v 6 Na walipokuwa wamekutanika pamoja walimuuliza; "Bwana, hivi huu ndio muda utakaowarudishia Israeli ufalme?" \v 7 Yeye akawaambia, "Siyo sawa wajibu wenu kujua wakati au majira ambayo Baba amekusudia kwa mamlaka yake mwenyewe." \v 8 Lakini mtapokea nguvu, wakati Roho Mtakatifu atakapokuja juu yenu, na ninyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu yote na Yudea yote na Samaria mpaka mwisho wa nchi."
|
Loading…
Reference in New Issue