From 16d81ee6e8f017d123785edeecdf21f1119c4dcc Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: nicholuskombo Date: Fri, 8 Jul 2022 23:15:00 +0300 Subject: [PATCH] Fri Jul 08 2022 23:14:59 GMT+0300 (East Africa Time) --- 08/14.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/08/14.txt b/08/14.txt index 8610ff4..2f61211 100644 --- a/08/14.txt +++ b/08/14.txt @@ -1 +1 @@ -\v 14 Wakati huu mitume wa Yerusalemu waliposikia kuwa sasa Samaria imepokea neno la Mungu, wakawatuma kwao Petro na Yohana. \v 15 Wakati walipokuwa wakishuka waliwaombea kwamba, wampokee Roho Mtakatifu. \v 16 Kwani mpaka wakati huo Roho Mtakatifu alikuwa hajawashukia hata Mmoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu. \v 17 Ndipo Petro na Yohana wakawawekea mikono, nao wakampokea Roho Mtakatifu. \ No newline at end of file +\v 14 Wakati huu mitume wa Yerusalemu waliposikia kuwa sasa Samaria imepokea neno la Mungu, wakawatuma kwao Petro na Yohana. \v 15 Wakati walipokuwa wamewakishukia waliwaombea kwamba, wampokee Roho Mtakatifu. \v 16 Kwani mpaka wakati huo Roho Mtakatifu alikuwa hajawashukia hata Mmoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu. \v 17 Ndipo Petro na Yohana wakawawekea mikono, nao wakampokea Roho Mtakatifu. \ No newline at end of file