sw_act_text_reg/26/19.txt

1 line
346 B
Plaintext

\v 19 Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuasi maono ya mbinguni, \v 20 lakini, kwa wale walio katika Dameski kwanza, na kisha Yerusalemu na nchi yote ya Yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine, nilihubiri kwamba watubu na kumgeukia Mungu, wafanye matendo yanayostahili toba. \v 21 Kwa sababu hiyo Wayahudi walinikamata hekaluni, wakajaribu kuniua.