sw_act_text_reg/19/11.txt

1 line
191 B
Plaintext

\v 11 Mungu alikuwa akifanya matendo makuu kwa mikono ya Paulo, \v 12 kwamba hata wagonjwa waliponywa, na roho chafu waliwatoka, wakati walipochukua leso na nguo zilizotoka mwilini mwa Paulo.