sw_act_text_reg/07/33.txt

1 line
219 B
Plaintext

\v 33 Bwana akamwambia, 'Vua viatu vyako, sehemu uliposimama ni mahali patakatifu. \v 34 Nimeona mateso ya watu wangu waliopo Misri; Nimesikia kuugua kwao, nami nimeshuka ili niwaokoe; sasa njoo, nitakutuma wewe Misri.'