sw_act_text_reg/07/01.txt

1 line
313 B
Plaintext

\v 1 Kuhani mkuu akasema,"mambo haya ni ya kweli"? \v 2 Stephano akasema, "Ndugu na mababa zangu, nisikilizeni mimi: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu wakati alipokuwa Mesopotamia, kabla hajaishi Harani,' \v 3 akamwambia,' Ondoka katika nchi yako na jamaa zako na uende katika nchi nitakayokuonyesha'.