1 line
326 B
Plaintext
1 line
326 B
Plaintext
\v 13 Lakini palikuwapo Wayahudi wapunga pepo wakisafiri kupitia eneo hilo, wakilitumia jina la Yesu kwa ajili ya matumizi yao wenyewe. Wakiwaambia wale walikuwa na pepo wachafu; Wakisema, "Ninawaamuru mtoke kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri." \v 14 Waliofanya haya walikuwa wana saba wa kuhani Mkuu wa Kiyahudi, Skewa. |