sw_act_text_reg/06/10.txt

1 line
245 B
Plaintext

\v 10 Lakini, hawakuweza kushindana na hekima na Roho ambayo Stefano alikuwa akitumia katika kuzungumza. \v 11 Kisha waliwashawishi baadhi ya watu kwa siri kusema, "Tumesikia Stefano akizungumza maneno ya kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mungu."