sw_act_text_reg/04/19.txt

1 line
210 B
Plaintext

\v 19 Lakini Petro na Yohana walijibu na kuwaambia, "Kama ni sahihi machoni pa Mungu kuwatii ninyi kuliko Mungu, hukumuni wenyewe. \v 20 Maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia."