sw_act_text_reg/02/43.txt

1 line
253 B
Plaintext

\v 43 Hofu ikaja juu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume. \v 44 Wote walioamini walikuwa pamoja na kuwa na vitu vyao kwa pamoja, \v 45 na waliuza vitu na milki zao na kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.