sw_act_text_reg/02/32.txt

1 line
247 B
Plaintext

\v 32 Huyu Yesu - Mungu alimfufua, ambaye sisi wote ni mashahidi. \v 33 Kwa hiyo, akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu, na akiwa amepokea ahadi ya Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba, yeye amemimina hii ahadi, ambaye ninyi mnaona na kusikia.