sw_act_text_reg/17/18.txt

1 line
251 B
Plaintext

\v 18 Lakini baathi ya Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoiko wakamkabili. Na wengine wakasema, " Ni nini anachokisema huyu mwongeaji mchanga? Wengine wakasema, "inaonekana anahubiri habari ya mungu mgeni," kwasababu anahubiri habari ya Yesu na ufufuo.