sw_2ti_text_ulb/01/01.txt

1 line
225 B
Plaintext

\c 1 \v 1 Paulo mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, sawasawa na ahadi ya uzima ulio ndani ya Kristo Yesu, \v 2 kwa Timotheo, mwana mpendwa.Neema iwe kwako, rehema na amani toka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.