sw_2th_text_ulb/03/13.txt

1 line
270 B
Plaintext

\v 13 Lakini ninyi, ndugu, msizimie roho katika kufanya yaliyo sahihi. \v 14 Ikiwa mtu yeyote hataki kutii neno letu katika waraka huu, mwe makini naye na msiwe na ushirika pamoja naye, ili kwamba aweze kuaibika. \v 15 Msimchukulie kama adui, lakini mwonyeni kama ndugu.