sw_2sa_text_reg/24/17.txt

1 line
230 B
Plaintext

\v 17 Daudi alipomwona malaika aliyekuwa amewapiga watu, akamwambia Yahwe kusema, "Nimetenda dhambi, na nimetenda kwa upumbavu. Lakini kondoo hawa, wamefanya nini? Tafadhari, mkono wako na uniadhibu mimi na familia ya baba yangu!"