sw_2sa_text_reg/04/04.txt

1 line
293 B
Plaintext

\v 4 Basi Yonathani, mwana wa Sauli, alikuwa na mwana mlemavu wa miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano habari kuhusu Sauli na Yonathani ilipofika Yezreeli. Yaya wake akamchukua ili akimbie. Lakini wakati anakimbia, mwana wa Yonathani alianguka na akawa kilema. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.