sw_2sa_text_reg/24/10.txt

1 line
203 B
Plaintext

\v 10 Ndipo moyo wa Daudi ukamsumbua baada ya kuwahesabu watu. Hivyo akamwambia Yahwe, "Kwa kufanya hivi nimetenda dhambi sana. Sasa, Yahwe, uiondoe hatia ya mtumishi wako, kwani nimetenda kwa upumbavu."