sw_2sa_text_reg/21/01.txt

1 line
217 B
Plaintext

\v 1 Kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu katika siku za utawala wa Daudi, na Daudi akautafuta uso wa Yahwe. "Hivyo Yahwe akasema, "njaa hii ni kwa sababu ya mauaji ya Sauli na familia yake, kwa kuwa aliwauwa Wagibeoni."