sw_2sa_text_reg/20/03.txt

1 line
283 B
Plaintext

\v 3 Daudi alipofika katika kasri lake huko Yerusalemu, akawachukua masuria aliokuwa amewaacha kulitunza kasri, na akawaweka katika nyumba chini ya uangalizi. Aliwaandalia mahitaji yao lakini hakuenda kwao tena. Hivyo walikuwa wametengwa hadi siku ya kufa kwao, waliishi kama wajane.