sw_2sa_text_reg/19/01.txt

1 line
236 B
Plaintext

\c 19 \v 1 Yoabu akaambiwa, "Tazama, mfalme analia na kumuomboleza Absalomu." \v 2 Hivyo siku ile ushindi uligeuzwa kuwa maombolezo kwa jeshi lote, kwa maana jeshi likasikia ikisemwa siku hiyo, "Mfalme anaomboleza kwa ajili ya mwanaye."