sw_2sa_text_reg/03/27.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 27 Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimchukua kando kati ya lango ili aongee naye faraghani. Hapohapo Yoabu alimchoma tumboni na kumuua. Hivyo, akalipa kisasi cha damu ya Asaheli nduguye.