sw_2sa_text_reg/02/18.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 18 Wana watatu wa Seruya walikuwepo pale: Yoabu, Abishai na Asaheli. \v 19 Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama paa. Akamfuatilia Abneri kwa karibu bila kugeuka upande wowote.