Tue Oct 18 2022 17:23:44 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
63e1795a58
commit
ce82eec967
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 1 Daudi akasema, "Je kuna yeyote aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumwonyesha kwa fadhiri kwa ajili ya Yonathani? \v 2 Alikuwepo mtumishi katika familia ya Sauli jina lake Siba, akaitwa kwa Daudi. Mfalme akamuuliza, "Je wewe ndiye Siba?" Akajibu, "Mimi ni mtumishi wako, ndiye."
|
||||
\c 9 \v 1 Daudi akasema, "Je kuna yeyote aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumuonyesha kwa fadhiri kwa ajili ya Yonathani? \v 2 Alikuwepo mtumishi katika familia ya Sauli jina lake Siba, akaitwa kwa Daudi. Mfalme akamuuliza, "Je wewe ndiye Siba?" Akajibu, "Mimi ni mtumishi wako, ndiye."
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 3 Hivyo mfalme akasema, "Je hakuna aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumuonesha wema wa Mungu?" Siba akamjibu mfalme, "Yonathani ana mwana, ambaye ni mlemavu wa miguu. \v 4 Mfalme akamwambia, "Yupo wapi?" Siba akamjibu mfalme, "Tazama, yupo katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli huko Lo Debari.
|
||||
\v 3 Hivyo mfalme akasema, "Je hakuna aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumuonyesha wema wa Mungu?" Siba akamjibu mfalme, "Yonathani ana mwana, ambaye ni mlemavu wa miguu. \v 4 Mfalme akamwambia, "Yupo wapi?" Siba akamjibu mfalme, "Tazama, yupo katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli huko Lo Debari.
|
Loading…
Reference in New Issue