From beb99cb502fc8a703a0b8d87b97158571a0e9fe6 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: tsDesktop Date: Tue, 18 Oct 2022 13:19:35 +0300 Subject: [PATCH] Tue Oct 18 2022 13:19:34 GMT+0300 (East Africa Time) --- 04/08.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/04/08.txt b/04/08.txt index 27610a4..24c0196 100644 --- a/04/08.txt +++ b/04/08.txt @@ -1 +1 @@ -\v 8 Wakaleta kichwa cha Ishboshethi kwa Daudi huko Hebroni, nao wakamwambia mfalme, "Tazama, hiki ni kichwa cha Ishboshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyekuwa akiutafuta uhai wako. Leo Yahwe amemlipia kisasi bwana wetu mfalme dhidi ya Sauli na uzao wake." \v 9 Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni Mbeerothi, akawambia, "Kama Yahwe aishivyo, aliyeuokoa uhai wangu na kila shida, \v 10 mtu mmoja aliponiambia, 'Tazama, Sauli amekufa,' akifikiri alileta habari njema, nilimkamata na kumwua huko Siklagi. Huo ndio ujira niliompa kwa habari yake. \ No newline at end of file +\v 8 Wakaleta kichwa cha Ishboshethi kwa Daudi huko Hebroni, nao wakamwambia mfalme, "Tazama, hiki ni kichwa cha Ishboshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyekuwa akiutafuta uhai wako. Leo Yahwe amemlipia kisasi bwana wetu mfalme dhidi ya Sauli na uzao wake." \v 9 Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni Mbeerothi, akawambia, "Kama Yahwe aishivyo, aliyeuokoa uhai wangu na kila shida, \v 10 mtu mmoja aliponiambia, 'Tazama, Sauli amekufa,' akifikiri alileta habari njema, nilimkamata na kumuua huko Siklagi. Huo ndio ujira niliompa kwa habari yake. \ No newline at end of file