Thu Oct 20 2022 10:59:28 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
e87223736c
commit
5a35343a28
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 31 Mara Mkushi akafika na kusema, "Kuna habari njema kwa bwana wangu mfalme kwa kuwa leo Yahwe amekulipia kisasi kwa wale wote walioinuka kinyume chako." \v 32 Ndipo mfalme akamwuliza, "Je huyo kijana Absalomu ni mzima?" Mkushi akajibu, "Adui wa bwana wangu mfalme na wote wainukao kukudhuru na wawe kama huyo kijana." \v 33 Ndipo mfalme alipohuzunishwa sana, naye akaenda chumbani juu ya lango na kulia. Kadili alivyokwenda aliomboleza, mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! afadhali ningekufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!"
|
||||
\v 31 Mara Mkushi akafika na kusema, "Kuna habari njema kwa bwana wangu mfalme kwa kuwa leo Yahwe amekulipia kisasi kwa wale wote walioinuka kinyume chako." \v 32 Ndipo mfalme akamuuliza, "Je huyo kijana Absalomu ni mzima?" Mkushi akajibu, "Adui wa bwana wangu mfalme na wote wainukao kukudhuru na wawe kama huyo kijana." \v 33 Ndipo mfalme alipohuzunishwa sana, naye akaenda chumbani juu ya lango na kulia. Kadili alivyokwenda aliomboleza, mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! afadhali ningekufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!"
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 19
|
|
@ -266,6 +266,8 @@
|
|||
"18-21",
|
||||
"18-24",
|
||||
"18-26",
|
||||
"18-28"
|
||||
"18-28",
|
||||
"18-31",
|
||||
"19-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue