Tue Oct 18 2022 18:53:44 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
315f85f14d
commit
57cad364cd
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 4 Siku moja mgeni akaja kwa tajiri, lakini yeye hakuwa tiyari kuchukua mnyama kutoka katika kundi lake la ng'ombe au kundi la kondoo ili kumuandalia chakula. Badala yake alichukua mwanakondoo wa maskini na akampika kwa ajili ya mgeni wake. \v 5 Hasira ya Daudi ikawaka dhidi ya tajiri yule, naye akamwambia Nathani kwa hasira, "Kama Yahwe aishivyo, mtu aliyelitenda jambo hili anastahili kufa. \v 6 Ni lazima alipe mwanakondoo mara nne zaidi kwa ajili ya kile alichokifanya, na kwa sababu hakuwa na huruma kwa mtu maskini.
|
||||
\v 4 Siku moja mgeni akaja kwa tajiri, lakini tajiri hakuwa tiyari kuchukua mnyama kutoka katika kundi lake la ng'ombe au kundi la kondoo ili kumuandalia chakula. Badala yake alichukua mwanakondoo wa maskini na akampika kwa ajili ya mgeni wake. \v 5 Hasira ya Daudi ikawaka dhidi ya tajiri yule, naye akamwambia Nathani kwa hasira, "Kama Yahwe aishivyo, mtu aliyelitenda jambo hili anastahili kufa. \v 6 Ni lazima alipe mwanakondoo mara nne zaidi kwa ajili ya kile alichokifanya, na kwa sababu hakuwa na huruma kwa mtu maskini.
|
|
@ -166,7 +166,6 @@
|
|||
"11-24",
|
||||
"11-26",
|
||||
"12-title",
|
||||
"12-01",
|
||||
"12-04"
|
||||
"12-01"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue