Fri Oct 14 2022 13:51:33 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
2d9754bafd
commit
3f979fa826
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 16 Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, "Helkath Hazzurim," yaani "konde la upanga," lililopo Gibeoni. \v 17 Vita ikawa kali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watumishi wa Daudi.
|
||||
\v 16 Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, "Helkath Hazzurim," yaani "konde la upanga," lililopo Gibeoni. \v 17 Vita vikawa vikali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa mbele ya watumishi wa Daudi.
|
Loading…
Reference in New Issue